SEASON TWO
JAMANI :MWALIMU
MWANDISHI:ISSA JUMA
WATSAPP NO:0743924769
*****************OVER 18 AGE*********************
SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU
Yasini ni upumbavu gani unaufanya kwa kutumia "kwanza nilistaajabu nani kamuambia kuwa mimi niko hapo au kuna mtu alikuwa ananifuatilia nini wakati nawaza yote hayo nilikuwa nimesahau kuwa niko uchi wa mnyama hivyo ikanibidi nichukue shuka na kuficha sehemu zangu za siri ambazo nazo nilisahau kuwa ata mama yake na Rahma alikuwa anazijua vizuri tuu kuliko hata hao nilikuwa nimelala nao.Kwani ujio wa mama huyu sikuwa nimeutegemea asubuhi hii "Nyinyi machangudoa nikifumba na kufumbua macho nisiwakute ndani ya chumba hiki tokeniiiiiiiii"Mama Rahama alizidi kufoka na kuwafanya wasichana hao kuanza kushuka mmoja mmoja kitandani na kila mmoja alianza kutafuta ni wapi anaweza kuziona nguo zake huku wakiwa na hofu kuu kwani mama huyu alikuwa kama mbogo kichaa "Pumbavu walinzi njooni mnitolee hii mizoga humu ndani na kama ni wafanyakazi wa hapa nitaongea na bossi sitaki kabisa tena kuwaona wakifanya kazi katiaka hotel hii kwani hwafai kabisa kuitwa wafanyakazi "Wasichana hao walibebwa juuu juu na usiweze kufikiri kuwa wale walikuwa ni wafanya kazi wa pale cha ajabu walibebwa wakiwa uchi wa mnyama hapo nikaamini kuwa mama huyu ni katili sana "Nilijaribu kuwatetea angalau basi wavae nguo zao lakini mama huyu alikuja juu na kuniambia funga domo lako unazani kutembea na hawa wasichana ni salama sana alipoona ninazidi kumuita akachukua chupa ya bia na kuirusha upande ambao mimi niko lakini kwa bahati nzuri niliwahi kuikwepa na ikapiga ukuta na kuvunjika vunjika nikasema je chupa hio ingenipata uenda ningekuwa marehemu kwa sasa .Siku nikisikia unaongea mbele yangu nikiwa nimekasirika ninaweza hata kukupasua hili bichwa lako..nafikiri utakuwa umenielewa na kuanzia mda mimi na wewe basi sitaki nikuone uko karibu na mwanangu usije ukamuambukiza magonjwa ya ajabu "Niliitika kwa unyonge sana kwa maana nilikuwa nimezoea kupata pesa nyingi sana kutoka kwa mama huyo tajiri lakini kabla sijatoka akawa amesema tena nimekusamehe ila nikisikia tena kuwa unafanya mambo ya ajabu na machangudoa wasio kuwa na mbele wala nyuma sawa haya toka twende apo angalau moyo wangu ulikuwa umetulia maana nilikuwa tayari niimeshazoea kushika hela kila wakati kuanzia mda ambao tulikuwa tumefunga shule miezi miwili na wazazi wangu walikuwa wameamishwa kikazi hivyo Tanga nilibaki mwenyewe hivyo hakuna aliye kuwa akinifuatilia sana zaidi ya mwalimu mkuu ambaye aliachiwa awe ananifuatilia ....sasa Yasini mimi nilikuwa nafanya mambo yangu kwa uhuru bila kuwaza chochote baada ya kuwa tumetoka nje na kupanda ndani ya gari aina ya vx v8 ya kifahari ambayo tumezoea kuziona kwenye misafala ya wakuu wanchi...Tulitoka na kwenda hadi kati ya moja ya ofisi ya mama huyu ilikuwa ni ofisi ya uuzaji wa magari tukaingia hadi ndani na kukutana na meneja wa branch hiyo ...mimi nikaa sehemu ya wateja nikiwa namsubiri mama huyo kumaliza mazungumzo na wafanyakazi wake ...baada ya kama lisaa kupita alitoka na kuniambia sasa tunaweza kwenda tukaingia tena kwenye gari ambalo tumekuja nalo na sasa nilimsikia akiniambia kuwa nitakuwa nikikaa kwake hadi likizo itakapo isha nilihisi furaha yangu imekuwa kubwa kupita kiasi nikiwa nawaza sasa naenda kumpata Rahma kilahisi uku bado nikiwa namuwaza mpenzi wangu niliyekuwa nikimpenda kwa dhati Yasinta kwani tangu tufunge shule sikuwa nimefanikiwa kuwasiliana nae japo tulikuwa tukiishiii mtaa mmoja kwani ilikuwa jirani na nyumba ambayo mimi na wazazi wangu tuliyokuwa tukiishi hivyo sasa mimi ninahamia kwa kina Rahma sizani kama itakuwa virahi kumuona .....HAYA YASINI NDANI YA NYUMBA YA KINA RAHMA JE WEWE UNAHISI NINI KITAENDA KUTOKEA WOTE TUKIWA TUNAIJUA KAZI YA YASINI USIKISE*****************
Monday, 2 April 2018
New
About Hamadi abel
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment