JAMANI MWALIMU
MWANDISHI:ISSA JUMA
WATSAPP NO:0743924769
**************18+*********************
SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE
Ilipoishia Yasini akiwa amehamia kwa kina Rahma hadi pale rikizo itakapoishia je nini kitaendelea katika nymba hiyo*****************songa nayo
Ilikiwa majira ya saa mbili usiku ambapo familia yote ilikuwa mezani tukipata chakura cha usiku mimi nikiwa kimya kabisa mda wote nilikuwa bize na chakula tofauti na wenzangu ambao mda wote walikuwa wakiongea.Jamani mbona mgeni yuko kimya sana aliongea dada yake na Rahma ambaye mpaka mda huu nilikuwa bado sijamfahamu jina lake"hapana mimi huwa sipendelei kuongea wakati wa kula sijui kwanini'nilimaliza kumjibu'sasa kipindi chote utakachokuwa ukiishi hapa inabidi tu uwe unaongea maana haitapendeza kwa familia yenye furaha 'lakini mimi mda nilikuwa nikijiuliza mbona simuoni yule baba ambaye mimi nilikuwa najua ndo baba wa familia hii lakini tangu nimefika hapa sijafanikiwa kumuona kabisa "Aaaaaah Yasini ukimaliza kula kama utakuwa unataka kuoga watakuonesha chumba chako ambacho ni selfu sawaa "alikuwa na mama mwenye familia "sawa mama "nilijibu.
Mama yake Rahma akawa ametuacha pale sebuleni mimi pamoja na familia yake tukiwa tumeishamaliza kupata chakula huku mimi nikiwa nimependekeza tuangalie kwanza luninga alafu baada ya hapo watanielekeza sehemu ya kujipumzisha pamoja na bafu ...Tulitazama tv hadi wenzangu nikawa nawaona kama wameanza kuchoka hivyo nikaona nisiwachoshe sana nikaomba kupelekwa sehemu ya kupumzika dada yake Rahma ndiye aliye chukua jukumu la kunipeleka huku nyuma Rahma akiwa anitazama kwa jicho la wizi ...Yasini hiki ndo chumba chako ,hili ndilo bafu,na chooo sawa "sawa nilijibu lakini Yasini mbona wewe ni mzuri sana maana umenifanya mda wote niwe na kuangalia tu wewe hadi nimeshindwa kula vizuri kwaajili yako basi usiku usifunge mlango nitakuja sawa "wakati dada yake na Rahma akiwa anaongea mimi nilikuwa sijamjibu kitu chochote nilikuwa kimya tu wakati wote kabla hajaondoka alikuja na kunikiss kitendo ambacho huwa kinafanya napata hisia za mapenzi kwa kasi sana hivyo nikawa natamani hata asiondoke ili niweze kumsaidia kufanya usafi katika ikulu yake ....lakini haikuwa hivyo wakati mimi nawaza hayo yeye tayari alikuwa ameshatoka nakwenda zake aaaaaaah shiti wanawake wengine wapo kwa ajili yakupandisha nye***tu halafu hawatimizi kinachi fuatia basi nikaingia bafuni na kuanza kupata maji huku nikiwa nakumbuka matukio ya siku ya leo kuhusu wale mabinti walivyo bebwa uchi wa mnya na mama huyu katili nikawa nawaza je siku akiniamlia na mimi hivi ata nifanyaje duuuuuh ...nikiwa bafuni mala nikasikia sauti ya kike ikiwa inajongea kuja bafuni huku ikiita Yasiniiiiii.HAAAAAAH JE NANI ANAYEITA NA ANATAKA NINI USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
No comments:
Post a Comment