MWANDISHI:ISSA JUMA
WATSAPP NO:0743924769
SEHEMU YA KUMI NA TANO
Iliposhia Yasini akiwa anatakiwa kwenda kutoa taarifa kwa wazazi wake juu ya swala la kuhamia shule kwa mda..
songa nayo......................................Ilikuwa ni siku ya ijumaa ambayo niliamka mapema ili kuwahi kuongea na baba yangu kwani huwa anaondoka asubuhi sana hivyo ilinibidi niamke asubuhi sana
Yasini:Shikamoo baba
Baba:Marhabaa ujambo ..mbona leo asubuhi sana ?lilikiuwa ni swali kutoka kwa baba ambalo alinitupia mimi "
Yasini:Nina shida ya kuongea na wewe kwani wanafunzi wote ambao tunakaa nje tunatakiwa kuhamia shuleni kwa mda wa miezi miwili hii ikiwa ni kwasababu ya michezo pamoja na mitihani iliyoko mbele hivyo nilikuwa nimeambiwa taarifa nifikishie mzazi"
Baba:oky kwa hilo swala nimekuelewa lakini mimi lazima nitakuja kulifuatilia ila wewe unaweza ukahamia tuu ila siumesema ni kwa miezi miwili tu sindio ndio ?"ndio baba haya subiri mama yako umuage sawa"ndiyo "ilikuwa ni furaha isiyokuwa na kifani ambayo niliipata kwani niliona mambo yangu ya uzinzi sasa yatakuwa hayana kipingamizi kwa asilimia mia%
Baada ya mda kidogo tulikuwa jikoni tukipata kifungua kinywa pamoja na mama yangu ambaye pia nilimueleza swala hilo kwa upande wake alikubalikubali bila kuwa na kipingamizi"Ilikuwa jioni ambayo niliingia shuleni rasmi ilikuungana na wanafunzi wenzangu ambao tayari walikuwa wameshafika hapo mimi nilikuwa na kazi ya kumtafuta rafiki yangu john ambaye tulikuwa tukisoma kidato kimoja ...Mala baada ya mda kidogo nilimuona yule mwanafunzi mwenye asili ya kiarabu akiwa katika moja ya sehemu ambazo hutumika kwa ajili ya wanafunzi kujisomea nikaona nisiwe mchoyo wa salamu ikabidi nimsogelee ili ata niweze kumfahamu japo mimi tayari tamaaa ya ngono ilikuwa imeshaniingia juu ya binti yule kwani alikuwa mrembo ukilinganisha na rangi yake ilitosha kabisa kusema kuwa alikuwa mrembo japo taji la urembo shuleni hapo lilikuwa kwa Yasinta ambaye naye ni mpenzi wangu ........................................
Mambo ....ilikuwa nisalamu kutoka kwa Yasini
Poa vipi"alijibu huku akiwa anaendelea na kazi yake ya kusoma kitabu cha hadithi za ISSA JUMA kijulikanacho kwa jina la PENZI LA KAHABA
Samahani naweza kukaaaa "bila samahani we kaaa tu "basi nikaona nikae maana niliona njia nyepesi ya kumteka binti yule ni kuanzisha mazoea nae"Baada ya mda kidogo iliingia gari la kifahari aina ya hummer ilikuwa ni mala ya kwanza kuona gari kama ile na baada ya hapo milango ya gari ile ilifunguliwa na kutoka baba mmoja wa kiarabu na mabinti wawili pamoja na mama mmoja wote hao walikuwa na asili ya kiarabu na walikuwa wanakuja upande ambao nilikuwa nimekaa na binti yule ambaye mpaka hapo nilikuwa sijamfahamu jina lake.......JE NINI KITAENDELEA NA WANAKWENDA SEHEMU HIYO KWAAJILI YA KUFANYA NINI
No comments:
Post a Comment