SEASON TWO
JAMANI MWALIMU
MWANDISHI:ISSA JUMA
WATSAPP NO:07439247
SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE
Ilipoishia Yasini akiwa amepitiwa usingizi ikiwa ni saa kumi usiku **********songa nayo
Niliamka nikiwa mchovu zaidi .kutokana na uchovu wa jana usiku ..wakati mimi naamka nilikuta tayari kifungua kinywa kikiwa tayari mezani na nikasikia sauti ya dada yake na Rahma "Yasini ukimaliza kunawa utakuja kunywa chai hapa tayari nimeishakuandalia sawa"Sawa nilienda zangu bafuni nikajimwagia maji kisha kusogea sehemu ya msosi kwa ajili ya kupata chai..."Jamani kaka Yasini karibu "ilikuwa ni sauti ya Rahma akiwa na furaha ambayo sizani kama dada yake alikuwa anajua ni furaha ya nini maana nilimuona akiwa anamshangaa mdogo wake.."Asante niliitikia huku nikiwa namtazama kwa jicho la kuibia sana nikiwa na hofia kuwa dada yake anaweza kugundua kinachoendelea kati yetu..Ilikuwa chai nzito ambayo sikuwahi kuipata hapo kabla kwani meza ilikiuwa imesheheni vyakula kedekede ,mayai,sharifu,sambusa pamoja na chai ya maziwa....
Mala tukiwa tuna kunywa chai alikuja mama mwenye nyumba huku akionekana kuwa na haraka sana na kumtaka Rahma amsindikize air port kwani alikuwa amepata dharura ya kuelekea Omani...aah Rahma nitaondoka na wewe mpaka uwanja wa ndege alafu kuna mzigo wangu nitakuelekeza ukauchukue nitaukuta kwako siku nikiwa nimerudi Tanzania sawa "ndiyo mama Rahma alijibu huku akiwa anajiandaa kuondoka na mama yake ,huku mimi nikiwa najiuliza itakuwaje maana dada yake Rahma tayar ameshaanza kuonesha dalili za mapenzi na mimi ...Basi nikawa namimi nimetoka hadi nje ilikushuhudia wakiwa wanaondoka katika uwanja wa nyumba hiyo na kuwasindikiza kwa macho hadi walipotokomea katika upeo wa mach yangu.Wakati narudi ndani ili kuelekea chumbani kwangu nilimkuta dada yake Rahma akiwa sebuleni anaangalia tv huku akiwa kabadilika kwani wakati tulikuwa tunakunywa chai alikuwa na nguo ndefu sasa kutoka nje na kurudi ndani nimemkuta akiwa tayari kashabadilisha nguo na kuvaaa sketi fupi sana ambayo ilionesha mapaja yake meupe ,mazuri na hipsi zilizochomoza kwa kweli alikuwa ameumbika sio siri kusifia ilikuwa haki yake kwani mimi nimezoea kumuona akiwa kavaa hijabu na nguo zingine ambazo zinastili mwili..mate yalinitoka kama mtu aliyeona embe dodo kwenye ,mchanga ..ila kutokana na uchovu nilionao ikanibidi nipitilize moja kwa moja hadi chumbani kwangu....kwani sikuwa na papala kabisa ya kuanza kumkulupukia dadayake Rahma kwani ilikuwa mapema lakini kama ujuavyo shetani ananguvu sana nilikuwa natamani nirudi nikamrukie pale alipokuwa lakini ikanibidi niache na kuendelea na shughuli zangu.Nilipofika chumbani kwangu nilikuwa na kazi ya kupanga mguo zangu ila nanii yangu iliuwa imesimama kuashiria hatari inaweza kutokea mda wote..ikanibidi nirudi kule alikokuwa amekaa dada yake Rahma angalau naweza kutuliza maumivu yangu....nilifika hadi sebuleni na kumkuta dada mtu akiwa anaangalia picha za ngono huku akiwa anajichua mwenyewe baada ya kuniona alishtuka sana "hivyo mimi nikajifanya kama sijamuona na kisha nikakaa katika moja ya sofa "kumbe na wewe huwa unapenda hayo nilimuuliza ilikumpima "haaaaaah'aliangaika sana kunijibu tukiwa tumekaa mala uvumilivu ukamshinda na kuamka kuja hadi sehemu niliyo kuwa nimekaaaa...USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Thursday, 5 April 2018
New
About Hamadi abel
SoraTemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of SoraTemplates is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment