Kipitia instagram take afande sele ameandika ujumbe ambao unamaanisha kutomkasirosha wala kuchukizwa na kitendo cha kutajwa kwenye nyimbo hiyo
"Alichokiandika afande sele " sana mdogo Wang nyakati zinabadilika huu muda wa akina Damian sio nyakati za burning spear au Bob Marley ndio maana nikawa muhenga"
No comments:
Post a Comment