Viongozi wa serikali wazidi kuisifia seduce me ya Allkiba - HAMADI BLOG

Breaking

Random Posts

BANNER 728X90

Tuesday, 29 August 2017

Viongozi wa serikali wazidi kuisifia seduce me ya Allkiba

Hawa ndio viongozi wa serikali walioikubakili seduce me ya alikiba

William ngereja naye ameonekana kuguswa na wimbo huyo na kuamua kumpongeza kiba
Alichokisema ngereja "nyimbo ya seduce me umeitendea hali tasnia ya muziki nchini pia utaitambulisha nchi yetu kimataifa.hongera

Mwingine ni mkuu wa wilaya ya kinondoni Mhe.Ally hapi ameweka hisia zake hadharani kwa kumsifia Alikiba kwa uzuri wa nyimbo yake mpya ya seduce me

No comments:

Post a Comment